Kuna aina nyingi za harusi, yani unaweza kufanya harusi moja ya sehemu zifuatazo
- kwenye hall (hall wedding)
- Harusi ya ufukweni (Beach wedding)
- Harusi ya bustanini (Garden wedding)
- Harusi ya kufanyia nyumbani(Home wedding)
- Harusi ya hotel (hotel weddings)
Kama unataka kufanya harusi ya wedding, make sure una mpambaji mzuri sanaa ambaye anaweza kupamba kumb za nje na ambaye umeshawahi kuona kazi zake
Kufanya harusi nje kwenye garden it means mpambaji anaweza kumake use of the nature, majani yaliyopo, miti iliyopo na kila kitu cha nature ambacho kipo.
Kama utafanya harusi ya kwenye garden usiku, make sure pambaji awe na taa nyingiiiii ili kuwe na mwanga.
Nashauri harusi ya kwenye garden iwe mchana yani the whole ceremony iwe mchana, ili kuweza kupata picha nzuriiii zenye mandhari ya kuvutia, kabla giza halijaingia
Hope you enjoyed the tips
See you on the next post
No comments:
Post a Comment