Hi ladies and gents
Mchana huu tuangalie jinsi ya kuchagua suti za harusi kwa ajili ya mabwana Harusi (Wedding Suits)
Kama ilivyo kwa mabibi harusi mabwana harusi pia wanatakiwa wawe careful kwenye kuchagua suti ili kuifanya siku yao ipendeze.
Here are few tips.
Make sure umeshajua kama unataka kuagiza suti, kununua dukani au kama utashona suti yako at least miezi mitatu kabla ya harusi
Jitahidi kufanya window shopping, temebelea maduka mbalimbali ya suti ili ufanye compariosn ya bei na quality
Jitahidi kuagiza suti yako mapema at least miezi miwili kabla ya harusi, ili iweze kufika mapema.
Kama unachagua kushona suti, jitahidi ushone mapema ili kuepuka usumbufu.
Jitahidi kuvaa suti itakayofanana na msimamizi wako (bestman) inapendeza sana
Kama unataka kuvaa tai ya rangi,jitahidi kuvaa tai yenye mojawapo ya rangi za harusi yako
Hope you enjoyed guys
Pictures kwa hisani ya Pinterest
See you on the next post
No comments:
Post a Comment